Nataka kununua nyumba. Nitaendeleaje

  • Introduction: Tovuti yetu inazingatia mahitaji yako kuhusu uuzaji na ununuzi wa nyumba.
  • Why is the process needed: Faida ya mchakato huu ni kuwa, muuzaji wa nyumba atapata malipo kutoka kwa mnunuzi, naye mnunuzi wa nyumba atakuwa mmiliki aliyesajiliwa wa nyumba hiyo.
  • Risk/what happens if the process is not undertaken: If the process of the sale and purchase of a house is not finalized then the buyer will not obtain legal title to the house and the Vendor will not obtain the purchase price.

Miongozo ya mchakato huu ni kama ifuatavyo:


Hatua

  1. Fanya Upekuzi wa nyumba katika Ofisi ya Serikali ya mashamba
  2. Tengeneza hati ya makubaliano
  3. Tengeneza hati ya kununua nyumba
  4. Sajili hati ya vyeti katika ofisi ya serikali ya mashamba

Hati unazohitaji

  • Copy of the Title  document in respect of the Property
  • nakala za kitambulisho na cheti cha kutoa ushuru cha muuzaji
  • nakala za kitambulisho na cheti cha kutoa ushuru cha mnunuzi


Muda

Siku Tisini

Gharama

Gharama ya Kulipia katika ofisi za Serikali:

  1. Gharama ya Upekuzi - Shilingi Mia Tano
  2. Gharama ya Ushuru kwa hati ya makubaliano ya uuzaji wa nyumba - Shilingi Mia Mbili na Arubaini
  3. Gharama ya Ushuru kwa hati ya kununua nyumba inayohesabiwa kwa kiwango cha asilimia nne ya gharama ya nyumba
  4. Cheti cha viwango - Shilingi Elfu Kumi
  5. Cheti cha kodi - Shilingi Elfu moja
  6. Gharama ya kuthamini shamba - Shilingi Elfu mbili
  7. Gharama ya kusajili vyeti na hati - Shilingi Elfu mbili

Disbursement fee: K.Shs.10,000/=


Templates


Kwa maelezo na habari zaidi kuhusu hatua hii, tungependekeza uwasiliane na wakili.
Bonyeza hapa kama ungependa kuunganishwa na wakili.

Jisajili kwanza

Kama ushawahi jisajili kwenye tovuti hii, basi bonyeza hapa ili uendelee. Log-in to continue



Contact us now

Contact us for more information

  • info@microjustice.org






Congratulations. Your message has been sent successfully.
Error, please retry. Your message has not been sent.