Jinsi ya kupata upya hati ya hatimiliki kama uliyo nayo hapo awali imepotea.

  • Introduction: Tovuti yetu inazingatia mahitaji yako kuhusu kupata upya hati ya hatimiliki kama uliyo nayo hapo awali imepotea.
  • Why is the process needed: Hati ya hatimiliki inathibitisha umiliki wa shamba.

Faida ya mchakato huu ni kuwa hati ya hatimiliki inayothibitisha umiliki wa shamba itakuwezesha kutumia hati kwa biashara na hata kupata mkopo kwa benki.

  • Risk/what happens if the process is not undertaken: If this process is not undertaken then there will be no evidence of ownership of property.

Miongozo ya mchakato huu ni kama ifuatavyo:


Hatua

  1. Tengeneza Fomu za shamba zinazohitajika
  2. Weka Tangazo kwenye Gazeti lenye mzunguko wa kitaifa
  3. Peleka hati zinazohitajika katika ofisi ya serikali ya mashamba
  4. Toa taarifa kwenye Kenya Gazette

Hati unazohitaji

  • nakala zilizothibitishwa za kitambulisho cha mwenye shamba
  • Dondoo la Polisi
  • Picha tatu za rangi za pasipoti za wenye shamba wanao weka kiapo
  • Matokeo rasmi ya Upekuzi wa shamba
  • Matokeo rasmi ya Upekuzi wa Kampuni
  • Hati ya maazimio ya Kampuni iliyothibitishwa na wakili


Muda

Takriban Siku Tisini

Gharama

Gharama ya kulipia katika Ofisi za serikali

  1. Gharama ya Upekuzi - Shilingi Mia Tano
  2. Gharama ya Upekuzi wa Kampuni - Shilingi Mia Sita na Hamsini
  3. Advertisement Cost – Approximately K.Shs.900/=
  4. Gharama ya kusajili hati - Shilingi Mia Tano

Disbursement fee: K.Shs.10,000/=


Templates


Kwa maelezo na habari zaidi kuhusu hatua hii, tungependekeza uwasiliane na wakili.
Bonyeza hapa kama ungependa kuunganishwa na wakili.

Jisajili kwanza

Kama ushawahi jisajili kwenye tovuti hii, basi bonyeza hapa ili uendelee. Log-in to continue


Contact us now

Contact us for more information

  • info@microjustice.org






Congratulations. Your message has been sent successfully.
Error, please retry. Your message has not been sent.