Jinsi ya kupata upya kitabu cha kumbukumbu cha gari/pikipiki kama umepoteza

  • Introduction: Tovuti yetu inazingatia mahitaji yako kuhusu kupata upya kitabu cha kumbukumbu cha gari/pikipiki kama umepoteza.
  • Why is the process needed: Kitabu cha kumbukumbu cha gari/pikipiki kinathibitisha nambari ya usajili ya gari/pikipiki. 

Kitabu hiki pia kinaonyesha mmiliki aliyesajiliwa wa gari/pikipiki.

  • Risk/what happens if the process is not undertaken: Lack of a Logbook means that you cannot prove that you legally own a particular motor vehicle/ motor bike.

Miongozo ya mchakato huu ni kama ifuatavyo:


Hatua

  1. Fungua akaunti ya TIMS
  2. Pata Dondoo la polisi
  3. Tengeneza hati ya kiapo
  4. Weka ombi la kupata kitabu cha kumbukumbu cha gari upya

Hati unazohitaji

  1. Kitambulisho cha mwenye gari/piki piki
  2. Dondoo la Polisi


Muda

Takriban Siku Kumi

Gharama

Direct Costs – K.Shs.2,000/=

Disbursement fee – K.Shs.1,000/=


Templates


Kwa maelezo na habari zaidi kuhusu hatua hii, tungependekeza uwasiliane na wakili.
Bonyeza hapa kama ungependa kuunganishwa na wakili.

Jisajili kwanza

Kama ushawahi jisajili kwenye tovuti hii, basi bonyeza hapa ili uendelee. Log-in to continue


Contact us now

Contact us for more information

  • info@microjustice.org






Congratulations. Your message has been sent successfully.
Error, please retry. Your message has not been sent.