Marehemu alifariki bila kuacha wosia. Kama familia tutagawanya mali yake vipi?

  • Introduction: Tovuti yetu inalenga maswala ya kutatua mambo iwapo marehemu alifariki bila kuacha wosia.

Utumbo ni wakati ambapo marehemu anafariki bila kuacha wosia.

  • Risk/what happens if the process is not undertaken: The major risk in respect to the above process is that the court processes take so much time and money and hence delaying the process.
  • Why is the process needed: However, once the case is determined then the parties or rather the beneficiaries can legally access the deceased’s property and even own the property.

Miongozo ya mchakato huu ni kama ifuatavyo:


Hatua

  1. Tengeneza hati za mahakamani
  2. Faili hati mahakamani
  3. Faili ombi kwenye Gazeti la serikali
  4. Kusikilizwa kwa mahakama

Hati unazohitaji

  • Original Title documents in respect of the Deceased’s Assets
  • Cheti cha Kifo
  • Barua kutoka kwa chifu inayodhibitisha walengwa
  • nakala za vitambulisho vya wategemezi, walengwa, watawala na wadhamini
  • nakala za cheti cha kutoa ushuru cha wadhamini


Muda

Takriban miaka miwili

Gharama

Direct Costs: Filing Fees to be determined by the relevant court Disbursement fee: K.Shs.15,000/=


Templates


Kwa maelezo na habari zaidi kuhusu hatua hii, tungependekeza uwasiliane na wakili.
Bonyeza hapa kama ungependa kuunganishwa na wakili.

Jisajili kwanza

Kama ushawahi jisajili kwenye tovuti hii, basi bonyeza hapa ili uendelee. Log-in to continue


Contact us now

Contact us for more information

  • info@microjustice.org






Congratulations. Your message has been sent successfully.
Error, please retry. Your message has not been sent.