Nataka kukopa pesa kutoka kwa shirika/ kwa mtu binafsi. Nahitaji hati zipi?

  • Introduction: Tovuti yetu inalenga mahitaji yako kuhusu jinsi ya kukopa pesa kutoka kwa shirika/kwa mtu binafsi.
  • Why is the process needed: Kutengeneza hati ya makubaliano ya mkopo ni muhimu kwa sababu hati hii inaweza kutumika kortini iwapo kuna mambo yanayohitaji kutatuliwa.

Pia hati ya makubaliano ya mkopo inasaidia kuonyesha majukumu ya wanaohusika.

  • Risk/what happens if the process is not undertaken: Failure to have a Loan Agreement causes many issues which can only be determined by a court of Law.

Miongozo ya mchakato huu ni kama ifuatavyo:


Hatua

  1. Pata maelezo zaidi kutoka kwa mkopeshaji na muazima
  2. Jua mkopo ni wa pesa ngapi
  3. Tengeneza hati ya makubaliano

Hati unazohitaji

  • nakala za vitambulisho vya mkopeshaji na muazima
  • nakala za vyeti vya kutoa ushuru za mpokopeshaji na muazima


Muda

Siku mbili

Gharama

Direct Cost (Stamp Duty Amount): K.Shs.240/=
Disbursement fee: K.Shs.2,000/=


Templates


Kwa maelezo na habari zaidi kuhusu hatua hii, tungependekeza uwasiliane na wakili.
Bonyeza hapa kama ungependa kuunganishwa na wakili.

Jisajili kwanza

Kama ushawahi jisajili kwenye tovuti hii, basi bonyeza hapa ili uendelee. Log-in to continue


Contact us now

Contact us for more information

  • info@microjustice.org






Congratulations. Your message has been sent successfully.
Error, please retry. Your message has not been sent.